B asi mkiwa mmefufuliwa pamoja na Kristo, yatafuteni yaliyo juu Kristo aliko, ameketi mkono wa kuume wa Mungu. Wakolosai 3:1 Ninakukaribisha tena kwa imani,twende tujifunze pamoja neno la uzima.Kwani ni nguvu na ni afya yetu ya kiroho. Na kristo atuwezeshe kupitia Roho mtakatifu amina. M singi wa fundisho la leo ni ? YAFUATENI AU YAPANIENI YALIYO JUU. K atika somo lililopita tulijifunza kuweka nia au lengo kabla ya kutenda,na leo tutaona kufuata au kupania. BASI YAFUATENI¡¡}》》》》》 N eno hili tukiliangalia kwa undani lina maana kubwa sana ni kama kusema,tazameni,shikilieni,fuateni,ishini au YAF...
Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu; na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.