Skip to main content

Posts

Showing posts from September 30, 2023

"YAFUATENI YALIYO JUU KRISTO ALIKO"

B asi mkiwa mmefufuliwa pamoja na Kristo, yatafuteni yaliyo juu Kristo aliko, ameketi mkono wa kuume wa Mungu. Wakolosai 3:1 Ninakukaribisha tena kwa imani,twende tujifunze pamoja neno la uzima.Kwani ni nguvu na ni afya yetu ya kiroho. Na kristo atuwezeshe kupitia Roho  mtakatifu   amina. M singi wa fundisho la leo ni ?                                                         YAFUATENI AU YAPANIENI YALIYO JUU. K atika somo lililopita tulijifunza kuweka nia au lengo kabla ya kutenda,na leo tutaona kufuata au kupania.  BASI YAFUATENI¡¡}》》》》》                                                     N eno hili tukiliangalia kwa undani lina maana kubwa sana ni kama kusema,tazameni,shikilieni,fuateni,ishini au YAF...